TANAPA PODCAST

← TANAPA PODCAST13 okt 2025 · 42 min

S01 EP11 - Nyumba ya Kumbukizi ya Mwl. Nyerere na Historia ya Taifa letu.

S01 EP11 - Nyumba ya Kumbukizi ya Mwl. Nyerere na Historia ya Taifa letu.13 okt 202542 min

<p>Kuelekea Kumbukizi ya Kifo cha Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere Oktoba 14, <strong>TANAPA PODCAST</strong> tunakueletea uchambuzi kuhusu historia ya harakati za uhuru wa Tanganyika zilizoongozwa na Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Hapa utapata kujifunza mengi kuhusu harakati za Uhuru wa Tanganyika na Afrika kwa ujumla.</p><p><br /></p><p>Ikumbukwe historia hii imehifadhiwa katika Nyumba ya Kumbukizi ya Mwl. Nyerere iliyopo Magomeni Usalama jijini Dar es Salaam. </p><p>Fuatilia uhondo huo katika Epsode ya 11.</p><p><br /></p><p>Eneo: Dar es salaam</p><p><br /></p><p>Host: Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Catherine Mbena</p><p>Guest: Afisa Mhifadhi Mkuu Mariam Njaritha - Mkuu wa Kituo Nyumba Kumbukizi ya Mwl. Nyerere</p><p><br /></p><p>Usikose kila Jumatatu na Alhamisi kupitia Platform za TANAPA Podcast.</p><p><strong>TANAPA PODCAST, HIFADHI ZETU, SAUTI YETU.</strong></p>