
← TANAPA PODCAST3 aug · 49 min
S02 EP02 - Ujirani Mwema na Faida Zake kwa Jamii
<p>Katika episodi hii utasikia simulizi, uzoefu na ushuhuda kutoka kwa wataalamu wa uhifadhi pamoja na wanufaika wa programu za ujirani mwema, wakieleza namna uhifadhi unavyochangia maendeleo ya wananchi na ustawi wa jamii.</p><p>Eneo: Arusha</p><p>Mwongoza Kipindi:</p><p>Afisa Uhifadhi Daraja la Pili, Happiness Sam</p><p>Wageni:</p><ul><li> Afisa Uhifadhi Mwandamizi Lameck Matungwa – Kitengo cha Ujirani Mwema, Hifadhi ya Taifa Milima Mahale</li><li> Rose Machange – Mwenyekiti, Kikundi cha Umoja wa Maendeleo Ngurdoto (UMANGU)</li></ul><p>Tazama sasa kupitia YouTube na usisahau ku-like, ku-comment, kushare na ku-subscribe ili usipitwe na episodi zijazo.</p><p>TANAPA PODCAST – HIFADHI ZETU, SAUTI YETU.</p><p><br></p>