
← TANAPA PODCAST31 aug · 52 min
SE02 EP03: Utalii wa Ndani na Nguvu ya Vyombo vya Habari katika Kutangaza Uzuri wa Serengeti
<p><br></p><p>Nafasi ya vyombo vya habari katika kuhamasisha Watanzania kutembelea vivutio vya utalii.</p><p><br></p><p>Sikiliza TANAPA Podcast – Season 2, Episode 03 kwa mazungumzo maalum kuhusu utalii wa ndani, nafasi ya vyombo vya habari na namna tunavyoweza kuitangaza Tanzania kwa Watanzania na dunia.</p><p><br></p><p>Jumatatu, 31.08.2026</p><p><br></p><p>Eneo: Serengeti</p><p><br></p><p>Mwongoza Kipindi: Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Catherine Mbena</p><p><br></p><p>Ni mwendo wa bandika bandua! </p><p>Wageni: Rashid suluhu Hassan - Mkurugenzi SUNET TV Zanzibar</p><p><br></p><p>Yusuph Khamis- Mwandishi wa habari</p><p><br></p><p>TANAPA PODCAST — HIFADHI ZETU, SAUTI YETU.</p><p><br></p><p>#TANAPAPodcast #TANAPADigital #TANAPAUpdates #TanzaniaParks #serengeti</p>