TANAPA PODCAST

← TANAPA PODCAST24 Nov 2025 · 36 min

S01 EP16 - MILA, DESTURI NA TAMADUNI KATIKA UHIFADHI WA MALIASILI.

S01 EP16 - MILA, DESTURI NA TAMADUNI KATIKA UHIFADHI WA MALIASILI.24 Nov 202536 min

<p>Episodi hii inaangazia njia za asili zilizotumika katika utunzaji wa maliasili kwa kufuata taratibu za kitamaduni, mila, desturi na makatazo mbalimbali yaliyosaidia kusimika mizizi imara na kuwa chimbuko la uhifadhi wa kisasa. Hekima za mababu zetu kama vile kuheshimu misitu, kutotumia rasilimali kupita kiasi, na kutambua uhusiano wa binadamu na mazingira vimekuwa dira muhimu inayoongoza mbinu za kisayansi za leo kwenye uhifadhi endelevu. </p><p><br /></p><p>Sikiliza simulizi hii ya kuvutia katika Epsodi ya 16.</p><p><br /></p><p>Mwongoza kipindi: Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Catherine Mbena.</p><p><br /></p><p>Mgeni I: Mzee Rashid Shabani </p><p> Kitopeni.</p><p>Mgeni II: Mzee Ramadhani Nyundo</p><p>Usikose kila Jumatatu kupitia Platform za TANAPA Podcast.</p><p><br /></p><p>TANAPA PODCAST, HIFADHI ZETU, SAUTI YETU.</p>